
Baada ya kesi yake ya kukutwa na silaha kinyume cha sheria na kutumikia adhabu aliyokuwa amepewa baado alikuwa akikabiliwa na kesi ya kukutwa na madawa na ndicho kinachomrudisha mchizi tena jela kutumikia kifungo kwa miezi 11.
kwa sababu mchizi ni Celeb.. jele yake itakuwa tofa-na-uti,
itakuwa kama hivi :-
T.I. will have access to a television room for general viewing.
T.I. will be issued a standard prison uniform -- khaki trousers, khaki button down shirt and black shoes.
Inmates at the prison can make phone calls -- but they're limited to 300 minutes per month.
I'M ur # 1 fun ntakumiss sana Mwanangu..!
No comments :
Post a Comment