
Mwanada fada Kim Kardashian baada ya kufanya vizuri katika mitindo na kupata kashfa kadhaa kwa kurecord picha za ngono na mdogo wake Brandy(Ray J), ameamua kuingia studio akishirikiana na aliyekuwa mumewe Christina Millan(The Dream) kwa kumuandikia nyimbo kadhaakatika album ya mwanadada huyu,
The dream ambaye ni Mtunzi mzuri akiwa tayari amesha kumuandikia Rihanna (Umbrella),na Beyonce katika ngoma ya(Single Ladies (Put a Ring on It).. na sasa amemuandikia mwanadafada Kim Kardashian ngoma inayokwenda kwa jina la "Baby Got Back", lets see kama atafanya vizuri katika muziki
No comments :
Post a Comment