Vanessa Mdee Ampigia Hesabu Trey Songz
Msanii bora wa kike Afrika Mashariki, Vanessa Mdee, ameibuka na kudai kwamba hesabu zake kwa sasa ni kwa mwanamuziki wa Marekani, Trey Songz, ambaye amewahi kushinda tuzo mbalimbali za muziki.
Vanessa kwa sasa yupo katika maandalizi ya kushiriki katika tuzo ya Loeries itakayotolewa nchini Afrika Kusini kutokana na video bora ya wimbo wa ‘Niroge’ kupata umaarufu na kupendwa na wengi.
Vanessa atakutana na Trey Songz katika wimbo wa pamoja wakati wa msimu mpya wa Coke Studio Afrika International Week ambapo ataimba wimbo wa ushirikiano na Patoranking na Trey Songz. Wasanii wengine atakaoshirikiana nao ni Stonebwoy wa Ghana na Yemi Alade wa Nigeria.
“Katika harakati zangu za kutafuta ushindi wa tuzo mbalimbali ikiwemo hiyo ninayoshindanishwa nayo nchini Afrika Kusini huwa napata nguvu kufanyakazi kwa karibu na msanii, Trey Songz, kwa kuwa naye ameshinda tuzo mbalimbali,” alieleza Vanessa
Wema: Nilitaka Milioni 75 Kuwa Salome, WCB Wakanipa Milioni 50 Nikakataa

Mwanadada Wema akiongea na kipindi kimoja cha redio leo mchana alipoulizwa yapi maoni yake kuhusu wimbo mpya wa Salome alisema wimbo ni mzuri sana na alitakiwa kufanya video lkn ilibidi walipe mil 75 kama gharama za yeye kutokea kwenye video lkn WCB walitaka kutoa mil 50 ndipo aliposhauriana na uongozi wake na kuamua kukataa.
"Ni kweli ningetokea kwenye video hiyo lakini walitoa pesa madafu,kaka mtangazaji siwezi kuuza sura kwa mil 50,ebu fikiria nimetumia karibia bilioni kutengeneza jina langu,nina biashara za mamilioni,leo Nassib anataka kunipa mil 50, that is not fair kwa kweli"
Mdau yapi maoni yako kuhusu gharama za huyu mlimbwende?
ULE MUDA UMEWADIA KUKUTANA NA WADAU MBALIMBALI ULIMWENGUNI KUTOKA KATIKA TASNIA YA FILAMU, NGONJERA,NA MUZIKI .... ZIFF 2016 INATUKUTANISHA, RANGI TOFAUTI, MILA NA TAMADUNI TOFAUTI TOFAUTI UBAGUZI TUPA KULE... ZIFF INATUWEKA PAMOJA 2016
Kwa habari na maelezo zaidi usiache kutembelea http://www.ziff.or.tz/
Juma Nature: Naweza kumtuliza Diamond chini naitaji naye show moja tu
Baada ya Msanii mkongwe kwenye Bongo fleva Juma Nature kufunguka kwenye kipindi cha Friday Night Live (FNL) na kusema kuwa anaitaji show moja tu uwanja wa taifa ambayo itamkutanisha yeye na msanii Diamond Platnumz.

Pamoja na kujua kwamba Diamond yuko juu,msanii huyo alisema kuwa anaamini kwamba yeye (Juma) ndiye mwenye uwezo,kumkabili na kumshinda iwapo utaandaliwa mpambano.
Nature alisema kuwa kuna watu wanadhani amechoka kimuziki,hivyo hana ubavu wa kusimama jukwani na Mondi.
”Niko tayari kupambana na Diamond,nina uhakika naweza kufanya vizuri ”,alisema
Ripoti Ya Daktari 'Maini ya Penny Yameharibika'
Majibu ya daktari yamemkatisha tamaa Mtangazaji wa Zouk TV, Penniel Mungilwa ‘VJ Penny’ baada ya kuambiwa kuwa, kutokana na unywaji wa pombe kali kupitiliza, maini yake yameanza kuharibika na asipochukua hatua za haraka hali itazidi kuwa mbaya zaidi.
Kwa mujibu wa mtu wa karibu wa Penny, hivi karibuni mrembo huyo aliyewahi kuwa mwandani wa Mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ alikuwa hajisikii vizuri na mara nyingi alipokuwa akijaribu kula, alitapika na kuishiwa nguvu hivyo akaamua kwenda kupima kwenye Hospitali ya AAR jijini Dar.
Mpashaji huyo alidai kwamba baada ya Penny kuchukua vipimo vyote, ilibainika kwenye maini yake kuna tatizo na chanzo chake ni unywaji wa pombe kali.“Maskini Penny, sasa hivi hana raha kabisa tangu daktari amwambie ana matatizo kwenye ini, mara nyingi anakuwa mnyonge na mwenye wasiwasi sana,” kilisema chanzo hicho.
Baada ya kupokea taarifa hiyo, Ijumaa Wikienda lilimtafuta Penny ambapo alizungumza kwa upole kuwa angeomba vitu vingine asiviweke wazi kwenye vyombo vya habari kwani ni mambo ya kidaktari zaidi.
“Kiukweli sijisikii vizuri na hata kuongea sana naona shida. Unajua vitu vya kidaktari siyo vizuri kuviweka kwenye vyombo vya habari. Kifupi sipo vizuri,” alisema Penny akionekana kutokuwa na furaha.
Chid Benz 'Watanzania Wenzangu Siko Sawa Nahitaji Msaada Wenu'
Akiongea kwa uchungu kwenye kipindi cha Da Weekend Chat Show cha Clouds TV jana, Chidi ambaye mwili wake umepungua kwa kiasi kikubwa, amesema bado uwezo kimuziki anao lakini wale aliowaita wadau walioushikilia muziki wamemtupa.
Amesema wakati wa kilele chake, alikuwa akifanya show kila siku katika wiki, lakini kwa sasa mambo yamebadilika kabisa. “Matatizo yangu na stress zangu ambazo niko nazo zinanisababishia mwili wangu unapungua kwasababu siko okay, siko poa, siko sawa yaani,” alisema.
Chidi amedai kuwa kuna watu wanaamini kuwa kama akiwa juu, wasanii wengi wa hip hop watakuwa na wakati mgumu. “Hawa Joh Makini sijui, nani wanakuwa hawapo. Sasa hakuna mdau anayeweza kukubali akina Joh Makini wasikuwepo awepo Chidi Benz peke yake,” alisema.
Katika hatua nyingine Chidi alisema pamoja na afya yake kuzorota, hivi karibuni alipiga show kwa masaa mawili hadi mama yake akalia. "Mama yangu akaniambia mwanangu unafanya show two hours, show kali watu wanapenda unachokifanya lakini sioni mwamko wa watu kutokea kukusaidia, kwahiyo tufanye mpango watu wakusaidie' na mimi namuambia nataka watu wanisaidie, natamani kusaidiwa, natamani kupata mafanikio anayopata Diamond," alisisitiza.
Amesema wakati wa kilele chake, alikuwa akifanya show kila siku katika wiki, lakini kwa sasa mambo yamebadilika kabisa. “Matatizo yangu na stress zangu ambazo niko nazo zinanisababishia mwili wangu unapungua kwasababu siko okay, siko poa, siko sawa yaani,” alisema.
Chidi amedai kuwa kuna watu wanaamini kuwa kama akiwa juu, wasanii wengi wa hip hop watakuwa na wakati mgumu. “Hawa Joh Makini sijui, nani wanakuwa hawapo. Sasa hakuna mdau anayeweza kukubali akina Joh Makini wasikuwepo awepo Chidi Benz peke yake,” alisema.
Katika hatua nyingine Chidi alisema pamoja na afya yake kuzorota, hivi karibuni alipiga show kwa masaa mawili hadi mama yake akalia. "Mama yangu akaniambia mwanangu unafanya show two hours, show kali watu wanapenda unachokifanya lakini sioni mwamko wa watu kutokea kukusaidia, kwahiyo tufanye mpango watu wakusaidie' na mimi namuambia nataka watu wanisaidie, natamani kusaidiwa, natamani kupata mafanikio anayopata Diamond," alisisitiza.
EXCLUSIVE KWA WAPENDA BURUDANI KUNDI LA WAKALI KWANZA KUJA UPYA NA WWAKIWA WOTE
JOSELIN
Kupitia kipindi chaa POWER BEAT kunachoruka na Radio ya swahiba fm(102.9) Zanzibar aliweza kufunguka mmoja wa member wa kundi hilo ajulikanae kama Makamua.
WAKALI KWANZA
Na kama tunavyojua kutoka kwa Q-Jay ktk kundi hili na kujihusisha na maisha ya udini zaidi bt kwa sasa wameshatengeneza mpaka idadi ya ngoma kumi wakijiandaa na ujio mpya wa album yao ambapo track kama 10 zimeshapikwa na maProducer kama Marco Chalii, Zacha na Master Jay mwenyewe
Bob Junior aeleza alivyo kamatwa na Polisi
Kuhusiana na kukamatwa kwa msanii Bob Junior na jeshi la polisi, kilichotokea ni kweli kwamba Bob Junior alikamatwa na Polisi na kushikiliwa kwa zaidi ya saa 20 jijini Dar es salaam.
‘Nilikuja kukamatwa na askari Polisi hapa studio kwangu na nikaambiwa nimehusika katika ujambazi na nimemteka mtu, nikashangaa sababu ni kitu ambacho kiko tofauti na mimi, nikakamatwa nikapelekwa kituo cha Polisi Magomeni Usalama, nikaulizwa unamjua kijana anaitwa Jumanne? nikajibu hapana‘ – Bob
‘Kumbe huyu Jumanne alimuaga mke wake kwamba anakwenda kwa Bob Junior na kuanzia hapo hakupatikana hewani kwenye simu na kutojulikana alipo, mke wake Jumanne ambaye anatokea kanda ya ziwa ikabidi aende Polisi kuandika kwamba maelezo Polisi kwamba hajamuona mume wake toka alipoaga kwenda kwa Bob Junior‘
‘Polisi ikabidi wanifate mimi sababu ni mtuhumiwa wa kwanza ndio maana nikakamatwa kwenda kutoa maelezo Polisi, kiukweli simfahamu Jumanne japo alimuaga mke wake anakuja kwenye studio yangu kurekodi, baada ya hapo Mama yangu na mpelelezi wa Polisi walikwenda mpaka Tigo kuangalia kama nimewahi kuwasiliana na Jumanne na ikakutwa sijawahi kuwasiliana nae, nikapata dhamana baada ya hapo‘
Jose Chameleone airisha kufanya tamasha lake mwaka huu Nchini Uganda
Msanii kutoka Nchini Uganda Dr. Jose Chameleone amesitisha kufanya tamasha kubwa la muziki analofanya kila mwaka nchini Uganda.
Chanzo cha taarifa hizi kinasema Chameleone ametangaza kutofanya tamasha hilo na pia kusema kwa sasa hatengenezi muziki kwaajili ya Uganda tu ila kwaajili ya Dunia nzima.
Jose alisema “Una Boycotting my music? I boycotted Ugandans two years ago. Have you seen me organize a concert in the past one year? I won’t organize one this year, and the next two years. I am targeting the international audiences; Africa and worldwide audiences”.
Babu Seya, Papii, Mapokezi ya Kifalme
DAR ES SALAAM! Inawezekana ikawa habari njema kwa mashabiki wao kusikia kwamba familia ya mwanamuziki aliyefungwa maisha jela kwa kosa la kuwanajisi watoto 9, Nguza Vicking ‘Babu Seya’ na mwanaye, Johnson Nguza ‘Papii Kocha’, ipo katika maandalizi makubwa ya kuwapokea kifalme wawili hao mara watakapotoka gerezani, Risasi Jumamosi lina habari kamili.
Nguza Vicking ‘Babu Seya’ na bendi yake wakitumbuiza.
KWA MUJIBU WA CHANZO
Chanzo kilichozungumza na gazeti hili katikati ya wiki hii kilisema kuwa familia hiyo imejipanga kwa ujio wa wapendwa wao hao kwa vile inaamini mambo sasa yamefikia mwisho na watatoka jela.
“Jamani kuna ishu ipo chini kwa chini ndani ya familia ya Babu Seya, nimepata habari kwamba wameanza maandalizi ya kumpokea yeye na mwanaye, Papii watakapotoka jela.
Chanzo kilichozungumza na gazeti hili katikati ya wiki hii kilisema kuwa familia hiyo imejipanga kwa ujio wa wapendwa wao hao kwa vile inaamini mambo sasa yamefikia mwisho na watatoka jela.
“Jamani kuna ishu ipo chini kwa chini ndani ya familia ya Babu Seya, nimepata habari kwamba wameanza maandalizi ya kumpokea yeye na mwanaye, Papii watakapotoka jela.
“Kinachoonekana ni kwamba wanajua siku yoyote ile watatoka. Sasa sijajua nini kitawatoa, maana hivi karibuni nimesoma kwenye vyombo vya habari kwamba shauri lao limetua kwenye Mahakama ya Haki za Binadamu Afrika (AfCHPR). Nadhani kuna mwanga wameuona kule,” kilisema chanzo hicho.
WATAPIGA MUZIKI?
Chanzo hicho kilisema kuwa miongoni mwa mambo yatakayofanywa na wawili hao baada ya kutoka ni kufanya shoo kwa kupiga muziki kuzunguka nchi nzima kwa lengo la kuwashukuru Watanzania kwa kuwaombea katika kipindi chote cha mapito yao.
Chanzo hicho kilisema kuwa miongoni mwa mambo yatakayofanywa na wawili hao baada ya kutoka ni kufanya shoo kwa kupiga muziki kuzunguka nchi nzima kwa lengo la kuwashukuru Watanzania kwa kuwaombea katika kipindi chote cha mapito yao.
“Lakini hili la kupiga shoo mnaweza kufuatilia zaidi kwa ndugu, kama wataona hakuna haja ya kulificha watawaambia, kama wameamua kulihifadhi basi lakini ndiyo ninachojua mimi.”
FAMILIA HAIJAWAHI KUKATA TAMAA
Chanzo: “Mnajua tangu walipofungwa wale wote, wakiwemo wale walioachiwa huru, Francis na Mbangu, familia haijawahi kukata tamaa hata siku moja.
Chanzo: “Mnajua tangu walipofungwa wale wote, wakiwemo wale walioachiwa huru, Francis na Mbangu, familia haijawahi kukata tamaa hata siku moja.
“Wamekuwa bega kwa bega kila wakati gerezani, mara kukata rufaa mpaka ikafika mahali rufaa zikaisha. Lakini nadhani huko kwenye mahakama walikoenda kupeleka malalamiko yao, kuna matumaini makubwa ndiyo maana familia imeanza kujipanga kuwapokea.”
RISASI NA MBANGU NGUZA
Baada ya kusikia kutoka kwa chanzo hicho, Risasi Jumamosi lilimsaka Mbangu Nguza, kaka wa Papii Kocha ili kumsikia anasemaje kuhusu kuwepo kwa madai ya baba yake na mdogo wake kutoka jela na kuwepo kwa maandalizi ya mapokezi makubwa.
Risasi Jumamosi: “Mbangu habari za leo?”
Mbangu: “Njema bwana, nani mwenzangu?”
Baada ya kusikia kutoka kwa chanzo hicho, Risasi Jumamosi lilimsaka Mbangu Nguza, kaka wa Papii Kocha ili kumsikia anasemaje kuhusu kuwepo kwa madai ya baba yake na mdogo wake kutoka jela na kuwepo kwa maandalizi ya mapokezi makubwa.
Risasi Jumamosi: “Mbangu habari za leo?”
Mbangu: “Njema bwana, nani mwenzangu?”
Risasi Jumamosi: (likajitambulisha).
Mbangu: “Ooo! Za siku bwana? Upo?”
Risasi Jumamosi likasema lipo kisha likaanza na mahojiano moja kwa moja ili kuokoa muda…
“Nilitaka kujua, kuna madai kwamba mzee na Papii wanatoka jela hivi karibuni. Unasema nini kuhusu hilo?”
Mbangu: “Ooo! Za siku bwana? Upo?”
Risasi Jumamosi likasema lipo kisha likaanza na mahojiano moja kwa moja ili kuokoa muda…
“Nilitaka kujua, kuna madai kwamba mzee na Papii wanatoka jela hivi karibuni. Unasema nini kuhusu hilo?”
Mbangu: “Kwanza wamechelewa sana kutoka, ilitakiwa wawe nje siku nyingi sana, yaani wamechelewa ndugu yangu.”
Risasi Jumamosi: “We unadhani watatokaje? Ni kwa vile wamepeleka rufani yao Mahakama ya Haki za Binadamu Afrika au kuna njia nyingine?”
Risasi Jumamosi: “We unadhani watatokaje? Ni kwa vile wamepeleka rufani yao Mahakama ya Haki za Binadamu Afrika au kuna njia nyingine?”
Mbangu: “Huko mimi siingilii, lakini najua watatoka. Kwa kuwa familia imekuwa ikiomba usiku na mchana watoke, sasa wanakaribia kutoka na wamechelewa.”
Risasi Jumamosi: “Wewe una uhakika kwa asilimia ngapi kwamba watatoka?”
Mbangu: “Mia moja! Mungu wangu ninayemwabudu mimi akijibu maombi hatoi asilimia chache, ni mia moja nakuhakikishia wanatoka.”
Risasi Jumamosi: “Wewe una uhakika kwa asilimia ngapi kwamba watatoka?”
Mbangu: “Mia moja! Mungu wangu ninayemwabudu mimi akijibu maombi hatoi asilimia chache, ni mia moja nakuhakikishia wanatoka.”
Risasi Jumamosi: “Chanzo chetu kimesema familia imeandaa mapokezi ya kifalme, ni kweli?”
Mbangu: “Siku hiyo itakuwa ya kipekee kwa familia. Lakini nini kimeandaliwa hilo jukumu lipo kwa familia mimi silisemei. Kuna watu wanashughulikia kila kitu. Unajua siku hizi nimejikita kwenye huduma ya Mungu kwa hiyo kuna watu wanashughulikia masuala yao.”
Mbangu: “Siku hiyo itakuwa ya kipekee kwa familia. Lakini nini kimeandaliwa hilo jukumu lipo kwa familia mimi silisemei. Kuna watu wanashughulikia kila kitu. Unajua siku hizi nimejikita kwenye huduma ya Mungu kwa hiyo kuna watu wanashughulikia masuala yao.”
Risasi Jumamosi: “Huwa unakwenda kuwaona gerezani?”
Mbangu: “Yeah! Huwa nakwenda mara kwa mara, lazima si baba yangu na mdogo wangu bwana, lazima kwenda.”
Mbangu: “Yeah! Huwa nakwenda mara kwa mara, lazima si baba yangu na mdogo wangu bwana, lazima kwenda.”
Risasi Jumamosi: “Nakushukuru sana bwana Mbangu.”
Mbangu: “Haya bwana, kazi njema.”
Mbangu: “Haya bwana, kazi njema.”
RUFAA YAO IMEPITIWA JANA
Jana, Mahakama ya Haki za Binadamu Afrika katika kikao chake cha 40 kilichoanza jijini Arusha, ilitarajiwa kupitia maombi ya rufaa ya Babu Seya na Papii dhidi ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (JMT).
Jana, Mahakama ya Haki za Binadamu Afrika katika kikao chake cha 40 kilichoanza jijini Arusha, ilitarajiwa kupitia maombi ya rufaa ya Babu Seya na Papii dhidi ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (JMT).
SIRI KUTAWALA
Kwa mujibu wa taarifa ya mahakama hiyo kwa vyombo vya habari, rufaa hiyo Namba 006/2015 ilipangwa kusikilizwa kwa siri na si kwenye mahakama ya wazi (open court).
Kwa mujibu wa taarifa ya mahakama hiyo kwa vyombo vya habari, rufaa hiyo Namba 006/2015 ilipangwa kusikilizwa kwa siri na si kwenye mahakama ya wazi (open court).
KESI MBILI TU
Mahakama hiyo ilitarajiwa kusikiliza rufani 50 lakini katika hizo, ni mbili tu ndizo zitakazosikilizwa kwenye mahakama ya wazi na kutolewa hukumu Machi 18.
Mahakama hiyo ilitarajiwa kusikiliza rufani 50 lakini katika hizo, ni mbili tu ndizo zitakazosikilizwa kwenye mahakama ya wazi na kutolewa hukumu Machi 18.
KUMBUKUMBU MUHIMU
Juni 25, 2004, Hakimu Mkuu Mkazi wa Mahakama ya Kisutu, Dar es Salaam, Addy Lyamuya aliwatia hatiani Babu Seya na wanaye watatu, Papii Kocha, Mbangu na Francis.
Januari 27, 2005, Jaji wa Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, Thomas Mihayo alitupilia mbali rufaa yao iliyokuwa ikipinga hukumu hiyo.
Wakili wao, Mabere Nyaucho Marando akapeleka suala hilo Mahakama ya Rufaa Tanzania ambako Mbangu na Francis waliachiwa huru, Babu Seya na Papii wakaonekana bado wana hatia.
Babu Seya na wanaye walidaiwa kutenda makosa 10 ya kubaka na kulawiti watoto hao kati ya Aprili na Oktoba, 2003 katika maeneo ya Sinza ya Palestina, Dar es Salaam. Mpaka sasa wana miaka 12 gerezani.
Juni 25, 2004, Hakimu Mkuu Mkazi wa Mahakama ya Kisutu, Dar es Salaam, Addy Lyamuya aliwatia hatiani Babu Seya na wanaye watatu, Papii Kocha, Mbangu na Francis.
Januari 27, 2005, Jaji wa Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, Thomas Mihayo alitupilia mbali rufaa yao iliyokuwa ikipinga hukumu hiyo.
Wakili wao, Mabere Nyaucho Marando akapeleka suala hilo Mahakama ya Rufaa Tanzania ambako Mbangu na Francis waliachiwa huru, Babu Seya na Papii wakaonekana bado wana hatia.
Babu Seya na wanaye walidaiwa kutenda makosa 10 ya kubaka na kulawiti watoto hao kati ya Aprili na Oktoba, 2003 katika maeneo ya Sinza ya Palestina, Dar es Salaam. Mpaka sasa wana miaka 12 gerezani.
Ruby: Nime wahi kucheza mpira wa miguu
Msanii bongo fleva ambaye anafanya vizuri na wimbo wa “Forever” Ruby amefunguka na kusema licha ya kuwa na kipaji cha kuimba ana kipaji cha kucheza mpira pia
Ruby alifunguka hayo baada ya kuulizwa kama anapenda michezo na kusema kuwa amewahi kucheza kwenye Young Twiga stars na kupewa medali.
“napenda michezo.mimi nilikuwa nacheza footbal kwenye young Twiga Stars,ni moja kati ya talent nilizo nazo,na nina medali” alisema Ruby.
Washindi wa Tuzo za Oscar 2016
Leonardo DiCaprio ameshinda tuzo ya kwanza ya Oscar baada ya kuikosa kwa mara nne
Baada ya kukosa mara nne, Leonardo DiCaprio alishinda tuzo yake ya kwanza ya Oscar kutokana na uigizaji wake katika filamu ya The Revenant.
“Tusiichukulie dunia yetu kirahisi, na wala huu usiku siuchukulii kirahisi,” alisema DiCaprio.
Loenardo DiCaprio ameshinda tuzo hiyo kutokana na uigizaji wake katika filamu ya The Revenant
Washindi wa tuzo ya Oscar 2016 ni;
BEST PICTURE
The Big Short
Bridge of Spies
Brooklyn
Mad Max: Fury Road
The Martian
The Revenant
Room
Winner: Spotlight
DIRECTING
Adam McKay, The Big Short
George Miller, Mad Max: Fury Road
Winner: Alejandro G. Inarritu, The Revenant
Lenny Abraham, Room
Tom McCarthy, Spotlight
ACTOR IN A LEADING ROLE
Bryan Cranston, Trumbo
Matt Damon, The Martian
Winner: Leonardo DiCaprio, The Revenant
Michael Fassbender, Steve Jobs
Eddie Redmayne, The Danish Girl
ACTRESS IN A LEADING ROLE
Cate Blanchett, Carol
Winner: Brie Larson, Room
Jennifer Lawrence, Joy
Charlotte Rampling, 45 Years
Saoirse Ronan, Brooklyn
ACTOR IN A SUPPORTING ROLE
Christian Bale, The Big Short
Tom Hardy, The Revenant
Mark Ruffalo, Spotlight
Winner: Mark Rylance, Bridge of Spies
Sylvester Stallone, Creed
ACTRESS IN A SUPPORTING ROLE
Jennifer Jason Leigh, The Hateful Eight
Rooney Mara, Carol
Rachel McAdams, Spotlight
Winner: Alicia Vikander, The Danish Girl
Kate Winslet, Steve Jobs
ANIMATED FEATURE FILM
Anomalisa
Boy and the World
Winner: Inside Out
Shaun the Sheep Movie
When Marnie Was There
CINEMATOGRAPHY
Carol
The Hateful Eight
Mad Max: Fury Road
Winner: The Revenant
Sicario
Mad Max: Fury Road
WRITING (ADAPTED SCREENPLAY)
Winner: The Big Short
Brooklyn
Carol
The Martian
Room
WRITING (ORIGINAL SCREENPLAY)
Bridge of Spies
Ex Machina
Inside Out
Winner: Spotlight
Straight Outta Compton
SHORT FILM (ANIMATED)
Winner: Bear Story
Prologue
Sanjay’s Super Team
We Can’t Live without Cosmos
World of Tomorrow
SHORT FILM (LIVE ACTION)
Ave Maria
Day One
Everything Will Be Okay (Alles Wird Gut)
Shok
Winner: Stutterer
COSTUME DESIGN
Carol
Cinderella
The Danish Girl
Winner: Mad Max: Fury Road
The Revenant
DOCUMENTARY (FEATURE)
Winner: Amy
Cartel Land
The Look of Silence
What Happened, Miss Simone?
Winter on Fire: Ukraine’s Fight for Freedom
DOCUMENTARY (SHORT SUBJECT)
Body Team 12
Chau, beyond the Lines
Claude Lanzmann: Spectres of the Shoah
Winner: A Girl in the River: The Price of Forgiveness
Last Day of Freedom
FILM EDITING
The Big Short
Winner: Mad Max: Fury Road
The Revenant
Spotlight
Star Wars: The Force Awakens
FOREIGN LANGUAGE FILM
Embrace of the Serpent
Mustang
Winner: Son of Saul
Theeb
A War
MAKEUP AND HAIRSTYLING
Winner: Mad Max: Fury Road
The 100-Year-Old Man Who Climbed out
the Window and Disappeared
The Revenant
MUSIC (ORIGINAL SCORE)
Bridge of Spies
Carol
Winner: The Hateful Eight
Sicario
Star Wars: The Force Awakens
MUSIC (ORIGINAL SONG)
Earned It, Fifty Shades of Grey
Manta Ray, Racing Extinction
Simple Song #3, Youth
Til It Happens To You, The Hunting Ground
Winner: Writing’s On The Wall, Spectre
PRODUCTION DESIGN
Bridge of Spies
The Danish Girl
Winner: Mad Max: Fury Road
The Martian
The Revenant
SOUND EDITING
Winner: Mad Max: Fury Road
The Martian
The Revenant
Sicario
Star Wars: The Force Awakens
Star Wars: The Force Awakens – Oscars 2016
SOUND MIXING
Bridge of Spies
Winner: Mad Max: Fury Road
The Martian
The Revenant
Star Wars: The Force Awakens
VISUAL EFFECTS
Winner: Ex Machina
Mad Max: Fury Road
The Martian
The Revenant
Star Wars: The Force Awakens
Gianni Infantino ashinda urais FIFA
Gainni Infantino ameshinda urais FIFA
Mataifa yenye nguvu katika soka duniani yamesalia Ulaya baada ya Gianni Infantino wa UEFA kushinda kwa kushtukiza uchaguzi wa urais FIFA.
FA walikuwa na wasiwasi kwa kuwa na rais wa FIFA ambaye hawawezi kumuamini, kulikuwa na hata mazungumzo kuwa Uingereza itaomba kuhodhi Kombe la Dunia 2030.
Gianni Infantino alikuwa katibu wa UEFA kabla hajatwaa urais wa FIFA
Sheik Salman bin Ibrahim Al-Khalifa kutoka Bahrain alikuwa akitarajiwa kuwa kiongozi wa kwanza Muarabu wa mchezo huo duniani. Lakini kipawa cha uongozi cha Infantino, uzoefu wake kama katibu mkuu wa UEFA na kubwa zaidi ahadi yake ya kuongeza huduma ya FIFA mara mbili kwenye mataifa shiriki zilimfanya ashinde.
Sheik Salman bin Ibrahim Al-Khalifa kutoka Bahrain akimpongeza Gianni Infantino baada ya kuibuka mshindi
RAUNDI YA KWANZA YA UCHAGUZI
Gianni Infantino: 88
Sheik Salman: 85
Prince Ali: 27
Jerome Champagne: 7
RAUNDI YA PILI
Gianni Infantino: 115
Sheik Salman: 88
Prince Ali: 4
Jerome Champagne: 0
Rais wa zamani FIFA Sepp Blatter amefungiwa miaka sita kushiriki shughuli za soka
ORODHA YA MARAIS WA FIFA
1904-06: Robert Guerin (Ufaransa)
1906-18: Daniel Woolfall (Uingereza)
1918-21: no president in place following Woolfall’s death
1921-54: Jules Rimet (Ufaransa)
1954-55: Rodolphe Seeldrayer (Ubelgiji)
1955-61: Arthur Drewry (Uingereza)
1961-74: Sir Stanley Rous (Uingereza)
1974-98: Joao Havelange (Brazil)
1998-2015: Sepp Blatter (Uswisi)
2016-: Gianni Infantino (Uswisi)
JUREJI AUNGANA NA WADAU WA MUZIKI WA DANSI NCHINI KUTOA SALAMU ZA RAMBIRAMBI KWA FAMILIA YA NGULI WA MUZIKI WA DANSI KUHUSU KIFO CHA MZEE MAPILI
Ni mkongwe wa muziki wa dansi nchini, Kassim Mapili
amekutwa amefariki nyumbani kwake Tabata Matumbi.
Inasemekama kifo chake kimejulikana usiku wa kuamkia leo
(Ijumaa) baada ya majirani kutomuona siku mbili nzima na
kutia mashaka, ndipo walipoamua kuvunja mlango wa
nyumba yake na kukuta mwili wake.
Majirani wa Mzee Mapili wamesema mara ya mwisho
kumuona mkongwe huyo ambaye alikuwa akiishi peke yake
nyumbani kwake, ni juzi ambapo waliangalia pamoja
mtanange kati ya timu za Arsenal na Barcelona.
Shuhuda mmojawapo amesema mwili hauko katika hali
nzuri, huvyo Mzee atazikwa leo, tarehe 26 Februari katika
Makaburi ya Kisutu saa 10 jioni na mipango inaendelea eneo
la msiba ambako ni Magomeni Mapipa namba 23..
Mzee Mapili alikuwa akisumbuliwa na ugonjwa wa Moyo kabla ya kifo chake.Banana Zoro anatamani kufanya kazi na msanii huyu mpya
Msanii mkongwe wa mziki wa bongo fleva Banana Zoro amesema kuwa anatamani sana kufanya kazi na msanii anayetamba na kibao chake cha Mahaba Niue,Maua Sama.
Banana amesema kuwa Maua ni msanii ambaye hatabiriki na anaweza kuimba aina tofauti tofauti za muziki na kukiri kuwa hajawai kumwambia mwenyewe sifa hizo kwa kuwa hajapata nafasi bado ya kukaa naye chini.
“Maua ana fusion.Anaweza akaimba zouk vizuri,R&B,Sweet raggae,anabadilika badilika huwezi kumtabiri kwenye staili moja” alifunguka Mkongwe huyo na kusema yuko mbioni kufanya kazi na wasanii wa kimataifa japo hakutaka kuwataja.
TUKIELEKEA KULE ULAYA:Lionel Messi aisambaratisha Arsenal
Lionel Messi akifunga goli la kwanza dhidi ya Arsenal
Lionel Messi ameiweka Barcelona kifua mbele baada ya kuipa ushindi timu yake dhidi ya Arsenal.
Mshambuliaji huyo wa Argentina alifunga magoli mawili akifunga goli la pili la penati zikiwa zimebaki dakika saba mechi kuisha katika dimba la Emirates jijini London Kaskazini.
Messi akifunga goli la pili kwa mkwaju wa penati
Na katika upande mwingine timu ya Bayern Munich ililazimishwa sare ya 2-2 na Juventus ya Italia.
Magoli ya Munich yalifungwa na Thomas Muller na Arjen Robben huku ya Juve yakiwekwa kimiani na Paolo Dybala na Stefano Sturaro.
Ray C Alia na Ugumu wa Maisha.....Aeleza mtindo anaotumia kupanda daladala Ili Kukwepa Aibu
Ray C ameweka wazi kuwa yuko taabani kiuchumi, hali inayompelekea kukosa hata pesa ya usafiri wa kwenda hospitali kupata dozi ya tiba ya maradhi yanayomkabili kutokana na kuathirika na matumizi ya dawa za kulevya.
Akiongea na Planet Bongo ya EATV hivi karibuni, Ray C alieleza kilio chake akidai kuwa sio tu kwamba amekosa pesa ya kuendelea kusapoti muziki wake baada ya aliyeahidi kumsaidia kumkimbia, bali inamlazimu kupanda daladala akiwa ndani ya vazi la ‘ninja’ kutokana na kushindwa gharama za usafiri.
“Jamani kiukweli haya maisha ya wasanii nyie acheni tu, yaani inabidi tumuombe tu mungu, mtu akikuona msanii kwenye daladala nani atanunua albamu yako, nani atakuja kwenye show yako, lakini mama ananiambia vaa ninja mwanangu nenda kapate tiba. Kwa sababu kila siku kukodi taxi ni gharama sana, kutoa elfu 25,000 kutoka Bunju mpaka hospitali kila siku ni nyingi sana," alieleza.
“Sometimes namwambia mama inabidi tutoke mapema saa 11 hivi nivae ninja twende kwanza kanisani then naweza nikachukua hata bajaji kwenda hospitali. Haya ni maisha sio kitu cha kucheka ni lazima nifanye hivyo ili niweze kumaliza dozi,” aliongeza.
Ray C alieleza kusikitishwa na namna ambavyo baadhi ya magazeti yanamuandika na kumchafulia jina kwa kile alichodai ni habari za kutungwa kuwa amerudia dawa za kulevya, badala ya kuandika habari njema zinazomhusu.
Mwimbaji huyo ambaye album yake imekwama studio, aliwaomba wadau na wananchi kwa ujumla kumsaidia hata kwa kumchangia kiasi kidogokidogo cha fedha ili aweze kumudu gharama za maisha na hata kurejea jukwaani.
Kanye West na Kim Kardashian wajenga ziwa dogo katika nyumba yao mpya
Mtandao wa udaku wa TMZ umesema, rapa Kanye West na mke wake Kim Kardashian wameanza kujenga ziwa dogo nyuma ya nyumba yao mpyailiyopo Los Angeles nchini Marekani.
Kwa mujibu wa picha hii, pahali ilipokuwepo bwawa la kuogelea ndio wataweka ziwa hilo
Kundi la P Square wagombana na kaka yao, Jude Okoye
Kundi la wasanii mapacha kutoka Nigeria la P Square linaonekana kuwa na hali ya kutoelewana kwa mujibu wa twiti kali za Peter Okoye inaonekana kama huu ndio mwisho wa kundi hilo kusimamiwa na kaka yao Jude Okoye ambaye amekuwa nao toka siku ya kwanza ‘Since Day 1’.
Kupitia twitter yake Peter wa P Square ameandika “Pls who so ever makes any transaction with Northside Entertainment or Jude Okoye on Psquare’s behalf does so at their on risk. #warning ”
Akimaanisha kuwa mtu yoyote atakaye fanya kazi na Jude Okoye akihisi anahusika na P Square atakuwa anafanya mambo yake kwa Risk yake mwenyewe,hii ni tahathari”.
Peter pia amesisitiza kuwa P Square hawatengani ila uongozi wao ndio unabidi uondolewe sababu wamekuwa na tatizo hilo kwa miaka minne sasa na wamelinyamazia tu.
Ukiacha twiti hio pia Peter alifululiza na twit za kuonyesha kuwa P Square ni Peter na Paul na sio mtu mwingine.
Huyu ndo mpenzi mpya wa Nuh Mziwanda
Msanii wa bongo fleva Nuh mziwanda baada ya kutemana na msanii mwenzake Shilole ameamua saivi kuweka uhusiano wake mpya hadharani.
Kupitia akaunti yake ya instagram @Iam_mziwanda Nuh amekuwa akimpost mara kwa mara mrembo anayetumia jina la @_erah_erah_ kwenye mtandao
Barua ya Jack Cliff toka gerezani China,afunguka kuhusu Jux
Mwanadada Mtanzania Jack Cliff ambaye kwa sasa yuko gerezani Macau China kwa kosa la kujaribu kuingiza dawa za kulevya nchini humo ameandika barua ya wazi kwa mtangazaji Millard Ayo na kuomba isomwe kwa watu wote.
Jack Cliff ambaye aliwahi kuwa video vixen (video queen) kwenye video za bongo fleva na mpenzi wa zamani wa msanii Jux amekiri kwenye barua hiyo kuwa amepatikana na hatia hizo na kuomba msamaha kwa wale wote wanaompenda kwa kuwaangusha.
Idris Sultan aomboleza watoto wake na Wema Sepetu
Idris Sultan ambaye ni mwenzi wa mwanadada Wema Sepetu, ambao hivi karibuni walitoa taarifa kuwa wanatarajia kupata mtoto, ameibua hisia za mashabiki wake baada ya kuandika ujumbe unaoashiria kuharibika kwa ujauzito huo wa mwenzi wake.
Kwenye ukurasa wake wa Instagram Idris ameandika ujumbe ukionyesha kuhuzunishwa kwa kuharibika kwa ujauzito huo, kwani walikuwa wenye furaha huku wakiwatarajia watoto hao ambao inasemekana walikuwa mapacha.
"To my unborn twins, So quickly you came into our lives, So quickly torn away. Never got the chance to meet you, There's so much I want to say. All these thoughts running through my head, It's enough to drive me insane. Though you lived only 13 short weeks, You were loved so very much. I wish that I could hold you, I long to feel your touch. I pray that in another life, We get the chance to meet. God brings and takes as he plans and we cannot complain but only pray that all that was for a better reason and a better plan in store for us. We have learnt lessons painfully but wont stop trying again and again and do swear by the time your brothers and sisters are made to come to this world we will be more than ready for them.
Sincerely Your Dad. ❤️
Sincerely Your Dad. ❤️
Akimaanisha....... (Kwa mapacha wangu ambao hamjazaliwa, kwa haraka sana mlikuja katika maisha yetu, haraka sana mliondoka, sikupata nafasi ya kukutana nanyi, kuna mengi sana nataka kusema, mawazo haya yote yanazunguka kichwa changu, inanifanya mwendawazimu, ingawa muliishi kwa wiki fupi 13 tu, mulipendwa sana, nilitamani ningewabeba, nilitamani nihisi mguso wenu, naomba kwamba kwenye maisha mengine tutapata nafasi ya kuonana. Mungu hutoa na kutwaa kadri ya mipango yake na hatuwezi laumu, ila tunaomba ni kwa sababu na mipango mizuri aliyotuwekea sisi, tumejifunza kwa maumivu sana lakini hatutaacha kujaribu tena na tena, na naapa muda ambao kaka zenu na dada zenu wakija duniani, hii dunia itakuwa zaidi ya tayari kwa ajili yao.
baba yenu mpendwa.)
baba yenu mpendwa.)
Post hiyo imeibua hisia nyingi huku wengi wao wakuwapa pole, na wengine wakiwapondea na kusema kuwa walikuwa wanadanganya kwani mwandada huyo hakuwahi kushika mimba.
jeuri_mmoja : Daa umenitoa chozi jmn mungu atawajalia mpate wengine
upendo_kisobi_kapinga: Mungu atampa mwingine
mirandasely: Blah Blah blah, Nonsense,u guyz think all people are stupid and have got shallow minds like urs,dumb asses.you and that famewhore deserve each other,
Kendrick Lamar ashinda tuzo 5 kwenye tuzo za 58 za Grammy
Rapa Kendrick Lamar amechukua tuzo tano kwenye tuzo za 58 za Grammy zilizofanyika Staples Center mjini Los Angeles.
kendrick ameshinda tuzo ya Best Rap Album, Best Rap Song, Best Music Video, Best Rap Performance, na Best Rap/Sung Collaboration.
kendrick ameshinda tuzo ya Best Rap Album, Best Rap Song, Best Music Video, Best Rap Performance, na Best Rap/Sung Collaboration.
Kendrick Lamar pia ametoa hotuba nzuri huku akiwasii wasanii wenzake kutosahau waasisi wa hiphop na kazi zao walizofanya, Kendrick amemtaja Nas, Snoop Dogg na Ice Cube huku akimpa shukrani CEO wa kampuni ya burudani iliyomtoa ya “Top Dawg” Anthony Tiffith. Kendrick pia aliwataja wazazi wake Kenneth Duckworth na Paula Duckworth.
Taylor Swift ameshinda tuzo tatu na The Weeknd wameondoka na tuzo mbili.
Taylor Swift ameshinda tuzo tatu na The Weeknd wameondoka na tuzo mbili.
58th Annual Grammy Awards: Winners
RECORD OF THE YEAR
“Really Love” – D’Angelo And The Vanguard
“Uptown Funk” – Mark Ronson Featuring Bruno Mars
“Thinking Out Loud” – Ed Sheeran
“Blank Space” – Taylor Swift
“Can’t Feel My Face” – The Weeknd
“Really Love” – D’Angelo And The Vanguard
“Uptown Funk” – Mark Ronson Featuring Bruno Mars
“Thinking Out Loud” – Ed Sheeran
“Blank Space” – Taylor Swift
“Can’t Feel My Face” – The Weeknd
ALBUM OF THE YEAR
Sound & Color – Alabama Shakes
To Pimp A Butterfly – Kendrick Lamar
Traveller – Chris Stapleton
1989 – Taylor Swift
Beauty Behind The Madness – The Weeknd
Sound & Color – Alabama Shakes
To Pimp A Butterfly – Kendrick Lamar
Traveller – Chris Stapleton
1989 – Taylor Swift
Beauty Behind The Madness – The Weeknd
BEST NEW ARTIST
Courtney Barnett
James Bay
Sam Hunt
Tori Kelly
Meghan Trainor
Courtney Barnett
James Bay
Sam Hunt
Tori Kelly
Meghan Trainor
SONG OF THE YEAR
“Alright” – Kendrick Lamar
“Blank Space” – Taylor Swift
“Girl Crush” – Little Big Town
“See You Again” – Wiz Khalifa Featuring Charlie Puth
“Thinking Out Loud” – Ed Sheeran
“Alright” – Kendrick Lamar
“Blank Space” – Taylor Swift
“Girl Crush” – Little Big Town
“See You Again” – Wiz Khalifa Featuring Charlie Puth
“Thinking Out Loud” – Ed Sheeran
BEST POP SOLO PERFORMANCE
“Heartbeat Song” – Kelly Clarkson
“Love Me Like You Do” – Ellie Goulding
“Thinking Out Loud” – Ed Sheeran
“Blank Space” – Taylor Swift
“Can’t Feel My Face” – The Weeknd
“Heartbeat Song” – Kelly Clarkson
“Love Me Like You Do” – Ellie Goulding
“Thinking Out Loud” – Ed Sheeran
“Blank Space” – Taylor Swift
“Can’t Feel My Face” – The Weeknd
BEST POP DUO/GROUP PERFORMANCE
“Ship To Wreck” – Florence + The Machine
“Sugar” – Maroon 5
“Uptown Funk” – Mark Ronson Featuring Bruno Mars
“Bad Blood” – Taylor Swift Featuring Kendrick Lamar
“See You Again” – Wiz Khalifa Featuring Charlie Puth
“Ship To Wreck” – Florence + The Machine
“Sugar” – Maroon 5
“Uptown Funk” – Mark Ronson Featuring Bruno Mars
“Bad Blood” – Taylor Swift Featuring Kendrick Lamar
“See You Again” – Wiz Khalifa Featuring Charlie Puth
BEST POP VOCAL ALBUM
Piece By Piece – Kelly Clarkson
How Big, How Blue, How Beautiful – Florence + The Machine
Uptown Special – Mark Ronson
1989 – Taylor Swift
Before This World – James Taylor
Piece By Piece – Kelly Clarkson
How Big, How Blue, How Beautiful – Florence + The Machine
Uptown Special – Mark Ronson
1989 – Taylor Swift
Before This World – James Taylor
BEST DANCE RECORDING
“We’re All We Need” – Above & Beyond Featuring Zoë Johnston
“Go” – The Chemical Brothers
“Never Catch Me” – Flying Lotus Featuring Kendrick Lamar
“Runaway (U & I)” – Galantis
“Where Are Ü Now” – Skrillex And Diplo With Justin Bieber
“We’re All We Need” – Above & Beyond Featuring Zoë Johnston
“Go” – The Chemical Brothers
“Never Catch Me” – Flying Lotus Featuring Kendrick Lamar
“Runaway (U & I)” – Galantis
“Where Are Ü Now” – Skrillex And Diplo With Justin Bieber
BEST DANCE/ELECTRONIC ALBUM
Our Love – Caribou
Born In The Echoes – The Chemical Brothers
Caracal – Disclosure
In Colour – Jamie XX
Skrillex And Diplo Present Jack Ü – Skrillex And Diplo
Our Love – Caribou
Born In The Echoes – The Chemical Brothers
Caracal – Disclosure
In Colour – Jamie XX
Skrillex And Diplo Present Jack Ü – Skrillex And Diplo
BEST R&B PERFORMANCE
“If I Don’t Have You” – Tamar Braxton
“Rise Up” – Andra Day
“Breathing Underwater” – Hiatus Kaiyote
“Planes” – Jeremih Featuring J. Cole
“Earned It (Fifty Shades Of Grey)” – The Weeknd
“If I Don’t Have You” – Tamar Braxton
“Rise Up” – Andra Day
“Breathing Underwater” – Hiatus Kaiyote
“Planes” – Jeremih Featuring J. Cole
“Earned It (Fifty Shades Of Grey)” – The Weeknd
BEST TRADITIONAL R&B PERFORMANCE
“He Is” – Faith Evans
“Little Ghetto Boy” – Lalah Hathaway
“Let It Burn” – Jazmine Sullivan
“Shame” – Tyrese
“My Favorite Part Of You” – Charlie Wilson
“He Is” – Faith Evans
“Little Ghetto Boy” – Lalah Hathaway
“Let It Burn” – Jazmine Sullivan
“Shame” – Tyrese
“My Favorite Part Of You” – Charlie Wilson
BEST R&B SONG
“Coffee” – Miguel
“Earned It” – The Weeknd
“Let It Burn” – Jazmine Sullivan
“Really Love” – D’Angelo And The Vanguard
“Shame” – Tyrese
“Coffee” – Miguel
“Earned It” – The Weeknd
“Let It Burn” – Jazmine Sullivan
“Really Love” – D’Angelo And The Vanguard
“Shame” – Tyrese
BEST URBAN CONTEMPORARY ALBUM
Ego Death – The Internet
You Should Be Here – Kehlani
Blood – Lianne La Havas
Wildheart – Miguel
Beauty Behind The Madness – The Weeknd
Ego Death – The Internet
You Should Be Here – Kehlani
Blood – Lianne La Havas
Wildheart – Miguel
Beauty Behind The Madness – The Weeknd
BEST R&B ALBUM
Coming Home – Leon Bridges
Black Messiah – D’Angelo And The Vanguard
Cheers To The Fall – Andra Day
Reality Show – Jazmine Sullivan
Forever Charlie – Charlie Wilson
Coming Home – Leon Bridges
Black Messiah – D’Angelo And The Vanguard
Cheers To The Fall – Andra Day
Reality Show – Jazmine Sullivan
Forever Charlie – Charlie Wilson
BEST RAP PERFORMANCE
“Apparently” – J. Cole
“Back To Back” – Drake
“Trap Queen” – Fetty Wap
“Alright” – Kendrick Lamar
“Truffle Butter” – Nicki Minaj Featuring Drake & Lil Wayne
“All Day” – Kanye West Featuring Theophilus London, Allan Kingdom & Paul McCartney
“Apparently” – J. Cole
“Back To Back” – Drake
“Trap Queen” – Fetty Wap
“Alright” – Kendrick Lamar
“Truffle Butter” – Nicki Minaj Featuring Drake & Lil Wayne
“All Day” – Kanye West Featuring Theophilus London, Allan Kingdom & Paul McCartney
BEST RAP/SUNG COLLABORATION
“One Man Can Change The World” – Big Sean Featuring Kanye West & John Legend
“Glory” – Common & John Legend
“Classic Man” – Jidenna Featuring Roman GianArthur
“These Walls” – Kendrick Lamar Featuring Bilal, Anna Wise & Thundercat
“Only” – Nicki Minaj Featuring Drake, Lil Wayne & Chris Brown
“One Man Can Change The World” – Big Sean Featuring Kanye West & John Legend
“Glory” – Common & John Legend
“Classic Man” – Jidenna Featuring Roman GianArthur
“These Walls” – Kendrick Lamar Featuring Bilal, Anna Wise & Thundercat
“Only” – Nicki Minaj Featuring Drake, Lil Wayne & Chris Brown
BEST RAP SONG
“All Day” – Kanye West Featuring Theophilus London, Allan Kingdom & Paul McCartney
“Alright” – Kendrick Lamar
“Energy” – Drake
“Glory” – Common & John Legend
“Trap Queen” – Fetty Wap
“All Day” – Kanye West Featuring Theophilus London, Allan Kingdom & Paul McCartney
“Alright” – Kendrick Lamar
“Energy” – Drake
“Glory” – Common & John Legend
“Trap Queen” – Fetty Wap
BEST RAP ALBUM
2014 Forest Hills Drive – J. Cole
Compton – Dr. Dre
If You’re Reading This It’s Too Late – Drake
To Pimp A Butterfly – Kendrick Lamar
The Pinkprint – Nicki Minaj
2014 Forest Hills Drive – J. Cole
Compton – Dr. Dre
If You’re Reading This It’s Too Late – Drake
To Pimp A Butterfly – Kendrick Lamar
The Pinkprint – Nicki Minaj
BEST COMPILATION SOUNDTRACK FOR VISUAL MEDIA
Empire: Season 1 – Various Artists
Fifty Shades Of Grey – Various Artists
Glen Campbell: I’ll Be Me – Various Artists
Pitch Perfect 2 – Various Artists
Selma – Various Artists
Empire: Season 1 – Various Artists
Fifty Shades Of Grey – Various Artists
Glen Campbell: I’ll Be Me – Various Artists
Pitch Perfect 2 – Various Artists
Selma – Various Artists
BEST SONG WRITTEN FOR VISUAL MEDIA
“Earned It” – The Weeknd
“Glory” – Common & John Legend
“Love Me Like You Do” – Ellie Goulding
“See You Again” – Wiz Khalifa Featuring Charlie Puth
“Til It Happens To You” – Lady Gaga
“Earned It” – The Weeknd
“Glory” – Common & John Legend
“Love Me Like You Do” – Ellie Goulding
“See You Again” – Wiz Khalifa Featuring Charlie Puth
“Til It Happens To You” – Lady Gaga
PRODUCER OF THE YEAR, NON-CLASSICAL
Jeff Bhasker
Dave Cobb
Diplo
Larry Klein
Blake Mills
Jeff Bhasker
Dave Cobb
Diplo
Larry Klein
Blake Mills
BEST MUSIC VIDEO
“LSD” – ASAP Rocky
“I Feel Love (Every Million Miles)” – The Dead Weather
“Alright” – Kendrick Lamar
“Bad Blood” – Taylor Swift Featuring Kendrick Lamar
“Freedom” – Pharrell Williams
“LSD” – ASAP Rocky
“I Feel Love (Every Million Miles)” – The Dead Weather
“Alright” – Kendrick Lamar
“Bad Blood” – Taylor Swift Featuring Kendrick Lamar
“Freedom” – Pharrell Williams
BEST MUSIC FILM
Mr. Dynamite: The Rise Of James Brown
Sonic Highways
What Happened, Miss Simone?
The Wall
Amy
Mr. Dynamite: The Rise Of James Brown
Sonic Highways
What Happened, Miss Simone?
The Wall
Amy
Vanessa Mdee amjibu shabiki aliyemtaka atoe sadaka
Msanii wa mziki wa bongo fleva Vanessa Mdee, anayefanya vizuri na wimbo wa “Never Ever” ametoa jibu ambalo limeonekana kuwavutia wengi kwenye mtandao wa twitter baada ya moja ya mashabiki kum tweet kwamba awe anasaidia maskini badala ya kuonesha ufahari kwenye mtandao.
Tukio hilo lilikuja baada ya msanii huyo kupost vocha kadhaa na kuandika ..”Jamani na hizi za Voda kwa anayehitaji vocha
#MoneyMondays “ndipo shabiki mmoja akamjibu.. “Its better ukatoa sadaka kwa maskini wasojiweza kuliko kuonyesha ufahari kwenye social media Vanessa, hizo vocha hazisaidii.”

Jibu la Vanessa lilisomeka kama ifuatavyo.. “Sadaka zenye baraka ni zile zinazotolewa bila kutangazwa wewe tengeneza maisha yako and i’ll do the same,” kama inavyoonekana kwenye picha hapo chini.
Kuiona Simba v Yanga 7,000/-
Kikosi cha Yanga
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) leo limetangaza viingilio vya mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) Jumamosi kati ya watani wa jadi Simba SC dhidi ya Yanga SC utakaochezwa Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, huku kiingilio cha chini kikiwa ni Shilingi elfu saba tu (7,000).
Kiingilio cha juu cha mchezo huo kitakua shilingi Elfu Thelathini (30,000) kwa VIP A, Elfu Ishirini (20,000) VIP B & C, Elfu Kumi (10,000) kwa viti vya rangi ya machungwa (Orange), na Elfu Saba (7,000) kwa viti vya rangi ya bluu na kijani.
Tiketi za mchezo huo zitaanza kuuzwa siku ya Ijumaa saa 2 kamili asubuhi katika vituo vya TFF (Karume), Buguruni Olicom, Ubungo Oilcom, Kidongo Chekundu (Mnazi Mmoja), Posta (Agip), Dar Live (Mbagala), Uwanja wa Taifa, Makumbusho Stand, Kivukoni Ferry.
Kikosi cha Simba
Mchezo huo utachezeshwa na waamuzi wote wenye beji za FIFA, mwamuzi wa katikati Jonesia Rukyaa (Kagera), akisaidiwa na Josephat Bulali (Tanga), Samwel Mpenzu (Arusha), mwamuzi wa akiba Elly Sasii (Dar) huku Kamisaa wa mchezo huo akiwa Khalid Bitebo (Mwanza).
Ligi hiyo ya Vodacom itaendelea Jumamosi kwa michezo sita, Young Africans v Simba (Taifa), Mbeya City v Azam (Sokoine), Stand United v JKT Ruvu (Kambarage), Toto Africans v Kagera Sugar (CCM Kirumba), Mgambo Shooting v Tanzania Prisons (Mkwakwani) na Majimaji FC v Mtibwa Sugar (Majimaji).
Jumapili ligi hiyo itaendelea kwa michezo miwili, Mwadui FC v Coastal Union uwanja wa Mwadui Complex, huku Ndanda FC wakicheza dhidi ya African Sports uwanja wa Nagwanda Sijaon mjini Mtwara
Angelique Kidjo ashinda tuzo ya Grammy ya tatu
Msanii Angelique Kidjo kutoka Benin Republic ameshinda tuzo yake ya tatu ya Grammy kwenye kipengle cha ‘Best world music album’ kama alivyofanya mwaka jana
Msanii huyu ameshinda tuzo hii kupitia album yake ya ‘Sings’.Mwaka jana alishinda tuzo hii kupitia album yake ya Eve.
Album ya Sings ni mkusanyiko wa nyimbo zake zilizotengenezwa na kuchanganywa na nyimbo za magaribi. Kidjo alipanda kwenye stage na kupokea tuzo hio akicheza wimbo wa James Brown “I Feel Good”
Maua Sama: Nitatumia elimu yangu kujikuza kimuziki zaidi
Msanii wa bongo fleva Maua Sama amesema kuwa ameamua kujikita zaidi kwenye muziki hasa baada ya kumaliza chuo.Maua amesema kwa sasa hafanyi shughuli yoyote zaidi ya muziki na kikubwa na anataka kutumia elimu aliyoipata ya mambo ya ‘Makerting and Enterprenurship’ ili aweze kujikuza kisanaa.
“Nilikuwa mwanafunzi,sasa nimemaliza chuo nimeamua kujikita kwenye muziki kwa asilimia mia moja…kwa sasa hakuna shughuli nyingine nayofanya nataka nitengeneze ‘base’,nifike malengo yangu kimuziki halafu nione nitatumiaje jina langu na elimu niliyo nayo kutengeneza hela zaidi maana uzuri wake mimi nimesoma makerting and enterprenurship kwa hiyo kwa kazi nayofanya ya muziki naweza kutumia elimu yangu kujifikisha mbali zaidi” alifunga staa huyo wa.
Pia kwa upande mwingine Maua amesema mikakati yake kwa sasa ni kuufikisha muziki wake kwenye level za kimataifa zaidi.
TFF yasikitishwa kupigwa kwa mwandishi
Katibu Mkuu wa TFF
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limepokea kwa masikitiko taarifa ya kupigwa kwa mwandishi wa habari za michezo wa gazeti la Mwanaspoti nchini, Mwanahiba Richard na kiungo wa timu ya Simba SC Mwinyi Kazimoto
mjini Shinyanga.
Kufuatia kitendo hicho kilichotokea wakati wa mazoezi, TFF imesema tukio liliofanywa na mchezaji huyo ni kinyume na sheria, taratibu/kanuni zinazoendesha mpira wa miguu nchini, hivyo wanakilaani kitendo hicho kwa nguvu zote.
Kwa kuwa tukio lilitokea wakati wa mazoezi, mpaka sasa TFF bado haijapokea taarifa rasmi kuhusiana na suala hilo.
20 Facts About the Legendary
King of Pop – Michael Jackson
Perhaps, nobody can still shine as
bright as the star of Michael Jackson. We pay a tribute to the great talent and
present you 20 facts about Michael Jackson.
1. Michael Jackson wanted to build a 50
foot robot of himself to roam the Nevada desert.
2. A lot of people have been known to believe the conspiracy
theory that Michael Jackson; his sister La Toya Jackson are the same person.
Heavy thoughts about brother’s death are
still haunting La Toya. She detailed her ideas in her own memoir “Starting
Over”.
3. Michael Jackson nearly purchased the company Marvel, just so
he could be Spider-Man.
He believed it was the only way to make
his dream come true – he really wanted to play that role.
4. Michael Jackson has “hundreds” of unreleased songs that were
discovered in his vault after he died.
Would you release them all or never
touch them?
5. Michael Jackson was scheduled to hold meetings in the World
Trade Center on Sept. 11, 2001 but overslept.
He was not the only star to avoid death
on 9/11, 2001. Some others are Gwyneth Paltrow, Patti Austin, Julie Stoffer,
Michael Lomonaco, Larry Silverstein, Ian Thorpe (Australian swimmer), Mark
Wahlberg, Sarah Ferguson, Seth MacFarlane.
6. Michael Jackson had cast actual gang members in his music
video for “Beat It” and reformed them in the process of filming.
Giving a second chance sounds like
Michael Jackson!
7. Michael Jackson’s boxer shorts were once sold on Ebay with a
reserve price of $1 million.
The Calvin Klein shorts were grabbed by
police as evidence of Jackson’s child molestation lawsuit in 2005.
8. Mr. T was a bodyguard for Michael Jackson in the 1980s.
Charging more than $3000 per night he
also used to protect such stars as Steve McQueen, Diana Ross, and Muhammad Ali.
9. Michael Jackson once paid a witch doctor $150,000 to put a
curse on Steven Spielberg.9(Steven Allan Spielberg KBE
OMRI is an American director, producer and screenwriter. Spielberg is
considered as one of the founding pioneers of the New Hollywood era,)
He paid this much for a voodoo curse
despite the fact he was deeeply in debt then…
10. Justin Timberlake originally wrote the ‘N Sync song ‘Gone’
for Michael Jackson.
Justin has always been a big devoted fan
of Michael’s talent.
11. Michael Jackson’s
autopsy revealed that his lips were tattooed pink, while his eyebrows were
tattooed a dark hue.
His doctor revealed
that Michael suffered from vitiligo and he had to apply a heavy makeup to cover
patches around his face, chest, abdomen, and arms.
12. Michael Jackson’s
hit song, Thriller, was almost “Starlight” and the chorus went “Starlight!
Starlight sun…”
13. Michael Jackson and Freddy Mercury recorded a duet together.
4. The runaway hit
90’s song “Do the Bartman” inspired from the famed TV show the Simpsons, was
written by Michael Jackson.
Being under contract
with another record label Michael didn’t receive any credit for his work, but
it was enjoyable for him as he was a big fan of the Simpsons and especially the
character of Bart.
15. MJ’s favorite animated character was Pinocchio.
By the way, Michael appeared in several
Disney TV specials, for example, Disneylands’ 25th Anniversary.
16. ‘Home Alone’ star Macauley Culkin is the godfather of two of
Jackson’s children.
Being his friend, Macauley Culkin always
protected Michael Jackson saying that he never did anything inappropriate with
him, that all “Jackson sex claims” were ridiculous.
17. The charitable superstar often wore a black armband to
remind people of the suffering of children around the world.
In 2000 he was noted in the Guiness Book
of World Records as a record breaker for the biggest number of charities
supported by a pop star.
18. Michael Jackson was a vegetarian.
He inspired many people of the world to
follow his example.
19.
Jackson had several media nicknames. They included The Gloved One, Wacko Jacko,
Jacko, The King of Pop, and MJ.The closest used to call him Smelly!
20. Jackson’s waxwork features in five Madame
Tussauds museums across the world. Only Elvis Presley and Madonna have more
Tussaud figures – they have six each.Those figures capture MJ at different
stages of his prominent career.
Perhaps, nobody can still shine as
bright as the star of Michael Jackson. We pay a tribute to the great talent and
present you 20 facts about Michael Jackson.
1. Michael Jackson wanted to build a 50
foot robot of himself to roam the Nevada desert.
2. A lot of people have been known to believe the conspiracy
theory that Michael Jackson; his sister La Toya Jackson are the same person.
Heavy thoughts about brother’s death are
still haunting La Toya. She detailed her ideas in her own memoir “Starting
Over”.
3. Michael Jackson nearly purchased the company Marvel, just so
he could be Spider-Man.
He believed it was the only way to make
his dream come true – he really wanted to play that role.
4. Michael Jackson has “hundreds” of unreleased songs that were
discovered in his vault after he died.
Would you release them all or never
touch them?
5. Michael Jackson was scheduled to hold meetings in the World
Trade Center on Sept. 11, 2001 but overslept.
He was not the only star to avoid death
on 9/11, 2001. Some others are Gwyneth Paltrow, Patti Austin, Julie Stoffer,
Michael Lomonaco, Larry Silverstein, Ian Thorpe (Australian swimmer), Mark
Wahlberg, Sarah Ferguson, Seth MacFarlane.
He paid this much for a voodoo curse
despite the fact he was deeeply in debt then…
10. Justin Timberlake originally wrote the ‘N Sync song ‘Gone’
for Michael Jackson.
Justin has always been a big devoted fan
of Michael’s talent.
11. Michael Jackson’s
autopsy revealed that his lips were tattooed pink, while his eyebrows were
tattooed a dark hue.
His doctor revealed
that Michael suffered from vitiligo and he had to apply a heavy makeup to cover
patches around his face, chest, abdomen, and arms.
12. Michael Jackson’s
hit song, Thriller, was almost “Starlight” and the chorus went “Starlight!
Starlight sun…”
13. Michael Jackson and Freddy Mercury recorded a duet together.
4. The runaway hit
90’s song “Do the Bartman” inspired from the famed TV show the Simpsons, was
written by Michael Jackson.
Being under contract
with another record label Michael didn’t receive any credit for his work, but
it was enjoyable for him as he was a big fan of the Simpsons and especially the
character of Bart.
15. MJ’s favorite animated character was Pinocchio.
By the way, Michael appeared in several
Disney TV specials, for example, Disneylands’ 25th Anniversary.
16. ‘Home Alone’ star Macauley Culkin is the godfather of two of
Jackson’s children.
Being his friend, Macauley Culkin always
protected Michael Jackson saying that he never did anything inappropriate with
him, that all “Jackson sex claims” were ridiculous.
17. The charitable superstar often wore a black armband to
remind people of the suffering of children around the world.
In 2000 he was noted in the Guiness Book
of World Records as a record breaker for the biggest number of charities
supported by a pop star.
18. Michael Jackson was a vegetarian.
He inspired many people of the world to
follow his example.
19.
Jackson had several media nicknames. They included The Gloved One, Wacko Jacko,
Jacko, The King of Pop, and MJ.The closest used to call him Smelly!
20. Jackson’s waxwork features in five Madame
Tussauds museums across the world. Only Elvis Presley and Madonna have more
Tussaud figures – they have six each.Those figures capture MJ at different
stages of his prominent career.
Kampuni 3 Zamtaka Mtoto wa Wema Baada tu Ya Kuzaliwa.
Kampuni tatu zimejitokeza kutaka kumtumia kibiashara mtoto atakayezaliwa baada ya staa wa filamu Wema Sepetu kujifungua baadaye mwaka huu.
Chanzo cha uhakika kilicho karibu na staa huyo, kimesema kampuni hizo ambazo hakuzitaja kwa kushindwa kukariri majina yake, zimeshafanya mazungumzo ya awali na Wema, kwani wanaamini mtoto huyo atakuwa kivutio kikubwa.
“Hivi ninavyokuambia licha ya kampuni hizo, tayari wengine wamejitokeza na kudai watamvalisha kwa muda wa mwaka mzima mtoto huyo,” kilisema chanzo hicho.
Gazeti hili lilimtafuta muigizaji huyo na kuulizia juu ya ishu hiyo, ambapo alicheka na kudai hayuko katika nafasi nzuri kwa muda huo ili kuzungumzia suala hilo hadi hapo baadaye.
Chanzo cha uhakika kilicho karibu na staa huyo, kimesema kampuni hizo ambazo hakuzitaja kwa kushindwa kukariri majina yake, zimeshafanya mazungumzo ya awali na Wema, kwani wanaamini mtoto huyo atakuwa kivutio kikubwa.
“Hivi ninavyokuambia licha ya kampuni hizo, tayari wengine wamejitokeza na kudai watamvalisha kwa muda wa mwaka mzima mtoto huyo,” kilisema chanzo hicho.
Gazeti hili lilimtafuta muigizaji huyo na kuulizia juu ya ishu hiyo, ambapo alicheka na kudai hayuko katika nafasi nzuri kwa muda huo ili kuzungumzia suala hilo hadi hapo baadaye.
“Kwa sasa ni mapema mno kuzungumzia hilo jambo, nitaweka wazi baadaye,” alisema Wema.
Roma adai anaogopa kuwekeza pesa nyingi kushoot video nje.
Msanii wa muziki wa Hip Hop, Roma Mkatoliki amedai wasanii wengi wanaoshoot video nje kwa gharama kubwa pesa zao hazirudi kutokana na soko la muziki lilivyo.
Akizungumza na Bongo5 Jumanne hii, Roma alisema yeye binafsi hawezi kufanya biashara hiyo kwa sasa mpaka atakapo jipanga zaidi.
“Kwa kesi ya Roma ukifika muda wangu nitafanya,” alisema Roma.
“Unajua kwa sasa hivi tunaona wasanii wanaenda kushoot video kwa milioni 25 lakini kiukweli hizi pesa hazirudi. Ndio maana napenda kuwaambia wasanii wenzangu waangalie kwanza soko lao lipo wapi?, target yao ni ipi. Msanii anatoa milioni 25 kwa ajili ya kushoot video, najua itakuwa video kali lakini soko la nyumbani halitaweza kuirudisha ile pesa, kwa maana hiyo utapata hasara na hautaweza tena kushoot video nje kwa sababu hauna mtaji. Kwahiyo mimi binafsi napenda sana kwenda huko, pia nawaunga mkono wanaofanya hivyo lakini lazima tujipange na tuangalie soko letu,”Ray-C aeleza ya moyoni kwa wanao mtakia mabaya
Ray-C.
Msanii ambaye alifanya vizuri kipindi cha nyuma Rehema Chalamila (Ray C) amewajia juu watu wanaomuandika vibaya na kumtuhumu kurudia kutumia madawa ya kulevya, ambayo mwenyewe anahangaika kupigana nayo kuyaacha.
Ray C kupitia ukurasa wake wa instagram ameandika na kusema kuwa anaumizwa na vitendo hivyo ambavyo vina lengo la kumharibia jina lake na kumtaka abaki kwenye hali aliyokuwa nayo ambayo anapigana kuacha.
“Seriously kwa kweli huwa naumia sana sana kuona binadam mwezangu anadiriki kuniharibia jina langu ili yeye apate kula! hamjui mnaniathiri kiasi gani na hizi habari zenu? hiyo habari yani ni ujinga ujinga tu umeunganishwa na picha yangu bila hata uoga mmeichukua kutoka kwenye page yangu ya insta mnazitumia kunichafulia jina langu tena wakati ndio kwanza nahangaika kurudi tena kwenye kazi yangu”, aliandika Ray C
Ray C ameendelea kwa kusema kuwa watu hao wanaomuandika vibaya wana nia ya kumrudisha nyuma, bila kuangalia hatua alizopiga kwenye kupambana na maumizi ya madawa hayo.
“Mnajua kama mpaka sasa nimeshatoa vijana zaid ya sabini kwenye madawa na wako fit wanatumia methadone je mnajua hilo? hata siju moja sijawahi pata msaada wowote kutoka kwenu, huu mwaka wa tatu bado naendelea kunywa dawa, its not easy but am a hard working woman, na ni mwanamke jasiri napambana na siogopi na kamwe sintorudi nyuma na hizi nuksi mzipeleke kwenye familia zenu” aliandika Ray C.
1 comment :
Nilikuwa na uzoefu mgumu na wa kutisha katika mahusiano yangu ya awali na nilisubiri sana hadi nilipokutana na mume wangu na baada ya kukutana, tulipendana na kuoana. Baada ya miaka miwili ya muungano, alibadilika na kuanza tabia za ajabu na hatimaye kuniacha mimi na mtoto wetu. Nilifanya kila niwezalo kumrudisha lakini yote yalikuwa bure. Nilipata maoni mengi na kila mtu alikuwa akisema juu ya Dk Dawn. Niliwasiliana naye na alinijibu na kunipa juhudi zake zote na msaada ili kuifanya ndoa yangu ifanye kazi tena. Yeye ndiye aliyenijulisha kuwa mume wangu alichukuliwa kutoka kwangu na mwanamke mwingine na akafanya uchawi wa kuungana tena ambao uliturudisha pamoja na kurudi nyumbani kwangu na kijana wangu. Hakika, hakuna mtu huko alidanganya kuhusu Dk Dawn na matendo yake mema. Mume wangu alirudi nyumbani saa 73 baada ya kufanya kazi kama alivyoahidi. Wasiliana naye sasa na uwe na uhakika kwamba atakusaidia kuunganisha tena ndoa/uhusiano wako.
Atakusaidia kushinda kesi mahakamani au kulipiza kisasi dhidi ya adui zako.
Atakusaidia kuponya ugumba na kila aina ya magonjwa/magonjwa.
Ana suluhisho la shida yako.
Wasiliana na Whatsapp yake: +2349046229159
Barua pepe: dawnacuna314@gmail.com
Post a Comment