
Alitakiwa atumikie mwaka mzima jela bt mmesahau kwamba kule '' (NGOME) kuna hesabiwa usiku na mchana, na mchiiizii kuleee ndani hakuleta utata wala mbaratata..! soo kwa kuheshimu sheria akapunguziwa siku na kupewa adhabu ya kutumikia jamii siku 400!, na jan trh 31..! alikuwa nawatch game ya NBA, ATLANTA HAWKS vs La lakers ambapo laker waliumia bana .mchizi hakuonekana na swagger za ki Atl , watu bana c walitegeme atakuwa na ma giriiiiiiliiiiiziiii kibaaaao ! bt NW he's big tin and those little tin stopin..! and He's poppin...!
No comments :
Post a Comment