Thursday, December 18, 2008

What if angekuwa wife wako achilia mbali wife, demu wako jee



Haijalishi una wivu kiasi gaaani bt ndio mwenzako yupo kazini, na ulimkuta tayri kashaingia katika fani ya uigizaji na inakubidi uvumilie tuu na haya sijui ndio yaliyomfanya Erick Benet kuwa kicheche mpaka mwana dada kudai talaka



No comments :