
Tuna dhani hii inatokea kibongobongo tuu baada ya mchizi Z Anton kumuoa demu aliyekuwa kafanya nae video ya binti kiziwi.., kumbe hata mbelembele vitu kama hivi ni kawaida mchizi Kanyee ameamua kujiachia na mwanamitindo Sessilee Lopez ambae alifanya nae video ya“Flashing Lights” cha kushangaza ni kwamba kutoka kwa marafiki wa karibu wa mwanamitindo huyu ana boyfriend wake, kinachosadikiwa ni kwamba dada anataka kuya vamia maisha ya hoolweird
1 comment :
Jurejimwana! blog ni kali ila mambo ya mbele ni mengi mno...jaribu kuchanganya events coz za mbele watu wanaread kwenye vyanzo mbalimbali vya habari beside kwa walio mbele ndio kabsaa wengine wanahudhuria matukio haya. Kwa matazamo ni kwamba blogs nyingi zimechukua chart kwa events za home, tukiachilia kama michuzi ana news mchanganyiko na suport ya kutosha toka kwa wadau ol over the world.
Post a Comment