Tuesday, December 2, 2008

Kanyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee.....!!


Baada ya mchizi kurelease album na ikafanya vizuri na kuibwaga album ya mchizi 50 hayo yalikuwa ni mafanikio bt the maza Yake (Dr.Donda),kutemana na demu wake, the mchizi akajipanga ktk industries na kukisanua vya kutosha alipodondoka na album ya "heartberak 808s" na kupewa tuzo za america music awards(AMA) YA MWANAMUZIKI BORA WA KIUME WA RAP na kuwashangaza watu kugeuka nyuma na kumpatia Weezy

No comments :