Sunday, June 11, 2017

Mashindano ya Diwani, Kule Kilungule yazidi kufana

Mh.Diwani Said Fella baada ya kuwaweka vijana pamoja kupitia muziki na kuwafikisha kwenye mafanikio sasa kupitia  soka letu,
Mh.Fella kuwaweka pamoja vijana kupitia michezo kupitia Diwani Cup akiwa kama Diwani wa Kilungule
Tunajua michezo inatuweka pamoja
Hongera Mh.Fella

No comments :