Wednesday, February 3, 2016

HABARI ZA KITAIFA:-Aliyekuwa mgombea urais kwa tiketi ya Chama cha Dp Abdalla Kombo Khamis ametangaza kutoshiriki katika Uchaguzi wa marudio hapo March 20

Aliyekuwa mgombea urais kwa tiketi ya Chama cha Dp  Abdalla  Kombo Khamis ametangaza  kutoshiriki katika Uchaguzi wa marudio hapo March 20 pamoja na kujivua rasmi uanachama wa chama hicho.


Akizungumza na jureji.blogspot.com amesema kuwa haoni sababu ya kushiriki uchaguzi wakati uchaguzi uliofanyika October 25 mwaka jana ulikuwa huru na haki
                                 Bw.  Abdalla  Kombo Khamis
Kwa mujibu wa makamo mwenyekiti wa DP Peter Aghaton Magwira kuliibuka mvutano mkubwa   wakati wa  kikao uliosabisha viongozi wa chama kujigawa wengine kutaka kushiriki na wengine wakipinga, lakini makao makuu ya chama Dar essalam walitaka chama kishiriki.

No comments :