Wednesday, June 17, 2015

Wema NAE KATIKA SIASA aomba msaada kuwania ubunge wa viti maalum mkoani Singida



Wema Sepetu
Wema Sepetu
Ni kweli Muigizaji maarufu Wema Sepetu anatarajiwa kuingia kwenye ulingo wa siasa?
Ripoti zinadai kwamba Wema Sepetu kupitia chama cha CCM anatarajia kugombea ubunge wa viti maalum mkoani Singida.

Taarifa za Madame kutaka kuingia katika siasa zimetokana na ujumbe uliotumwa mtandaoni na Petitman, mtu wa karibu wa muigizaji huyo akiwa amekumbatiana na mama yake mzazi.
Wema anataka kuingia katika ulingo wa siasa
Ujumbe aliotuma Petitman, mtu wa karibu wa Wema Sepetu








No comments :