Thursday, June 18, 2015

Ex girlfriend wa Chris Brown Karruache na mchezaji mpya wa Man United kunani?

Memphis Depay ni mshambuliaji mpya wa klabu ya Manchester United, mashabiki wake wamemuonya kuwa anaweza kujiingiza kwenye malumbano na muimbaji Chris Brown baada ya jana usiku kupost picha akiwa katika pozi tata na ex girlfriend wa muimbaji huyo, Karrueche Tran Depay ambaye amesajiliwa na United mapema mwezi uliopita, kwa sasa yupo mapumzikoni nchini Marekani ambapo ndio amekutana na Karruache.

IMG_5264
IMG_5265

No comments :