Friday, May 30, 2014

ubunifuu tuuu ndio unaofuata, shida inapochukua nafasi yake .. muone mzee huyu wa kichina alichokigundua baaada ya miaka 10


 
NI SANDUKU NA NI USAFIRI
Mkulima mmoja nchini China ametengeneza sanduku ambalo pia ni kama pikipiki.
Sanduku hilo lina matairi mawili, na linaweza kubeba watu wawili, na linaweza kwenda umbali wa kilomita 60 kwa kasi ya kilomita 20 kwa saa. Linatumia nishati ya betri. Mkulima huyo He Liang ametumia miaka 10 kuunda sanduku hili. Lina nafasi ya kutosha kuweka nguo na likiwa tupu lina uzito wa kilo 7

No comments :