Wednesday, April 30, 2014

POLISI WA JIJI LA NEW YORK WA MUITA "THE DREAM" KWA MAHOJIANO

Polisi wa jiji la New York  wamemtumia ujumbe muandaaji wa midundo ya muziki ajulikanaye kwa jina la "THE DREAM"(real name Terius Nash) Kwa kuhitajika afike kituoni kwa kosa la kumpiga aliyekuwa Ex-Gf wake ajulikanae Lydia Nam  amabye alikuwa mjamzito kwa kipindi hicho lakini muuandaaji huyu alipotezea na kusema malalamiko hayo hayana uzito ndani yake.

Kutokana na sharia inavyojieleza tukio hili lilichukua nafasi April 2013 ndani ya Plaza Hotel, Miezi mitatu kabla ya Lydia kujifungua motto wa kiume.
Picha ya chini ikimuonyesha The Dream(real name Terius Nash)  na Lydia.

0428-dream-and-lydia-instagram-01



No comments :