Wednesday, February 12, 2014

IMEMLAZIMU RIHANNA KUMTIMUA MUWEKA HAZINA WAKE.....!

Ilitokea wakati akiwa kwenye tour yake ya 2009 tour -- Last Girl on Earth Tour, amabpo kwenye account yake alikuwa na kiasi cha $11,000MILLION ambapo alipokea ushauri kutoka kwa muweka hazina wake anunue nyumba ya thamani $7,000MILLION, na baadhi ya matumizi mengine wakati akiwa katika tour kitu kilichopelekea Mwanadada  Rihanna kuingia hasara ya $ 2,000MILLION  tu kilichopelekea Rihanna kukiita ni kuwa BANKRUPT kwa uzembe wa muweka hazina, na kama ulikuwa hujui dada inasadikiwa anatengeneza $9million. Kwa mwaka na utajiri wake
Rihanna . Her net worth is now estimated at $43 mil.kwa sasa

No comments :