Saturday, November 29, 2008

Joe the Don kukisanua Bofongo

Mtu mzima jeo kutia maguu siku mbili na kutia baraka zake kwa album ya washkaji wawili wanayoizungusha Dsm ktk anga la burudani,,,!who els.. ni Ambwene Yasaya(Ay) na Hamisi mwin juma(Fa) tunaenda level Chafu kibongobongo asa ivi ile mbayampk Joe the Don ktk listen Party



No comments :