Msanii wa bongo faleva Roma amesema atatoa wimbo Mpya asubuhi na mapema mnamo tarehe 25 mwezi huu October,Roma aliandika kupitiaukurasa wake wa Instagram
New Song……Loading!!!!!! Nitai#Release Asubuhi saaaana!!! Siku Ya Tarehe #25thOCTOBER Ee Mungu Nisimamie!!!! #ViVaROMAViVa #ViVaROMAViVa #ZABURI -Ee Bwana, umenichunguza na kunijua. -Wewe wajua kuketi kwangu na kuondoka kwangu; Umelifahamu wazo langu tokea mbali. -Maana hamna neno ulimini mwangu Usilolijua kabisa, Bwana!!!!!!
New Song……Loading!!!!!! Nitai#Release Asubuhi saaaana!!! Siku Ya Tarehe #25thOCTOBER Ee Mungu Nisimamie!!!! #ViVaROMAViVa #ViVaROMAViVa #ZABURI -Ee Bwana, umenichunguza na kunijua. -Wewe wajua kuketi kwangu na kuondoka kwangu; Umelifahamu wazo langu tokea mbali. -Maana hamna neno ulimini mwangu Usilolijua kabisa, Bwana!!!!!!
No comments :
Post a Comment