Florentino Perez alithibitisha mbele ya waandishi wa habari Jumatatu usiku kuhusu uamuzi huo wa kumfukuza kocha huyo wa tisa katika miaka yake 12 akiwa kama rais wa klabu hiyo, lakini hakumtaja Rafa Benitez kama kocha mpya wa klabu hiyo.
Kocha huyo wa zamani wa Liverpool anatazamiwa kuchukuwa nafasi hiyto lakini habari za kufukuzwa kwa Ancelotti hazijapokelewa vizuri na wachezaji na mashabiki
Idadi ya makocha waliowahi kufukuzwa na rais Perez
Vicente del Bosque (June 23, 2003)
Carlos Queiroz (May 24, 2004)
Jose Antonio Camacho (Sep 20, 2004)
Marino Garia Remon (Dec 30, 2004)
Vanderlei Luxemburgo (Dec 4, 2005)
Fabio Capello (June 28, 2007)
Bernd Schuster (Dec 9, 2008)
Manuel Pellegrini (May 26, 2010)
Carlo Ancelotti (May 25, 2014)
No comments :
Post a Comment