Wednesday, April 15, 2009

Chris Brown duuuhhh bado yupo kwenye wakati mgumu ktk mahusiano yake...!!


















wakati kesi yake ikiendelea na kufikia hatima., majaji kuamua Chris breeeezzzy! hana hatiia .., ndipo baba yake rihana kuamua kulivalia njuga.. sijui wako kibiashara zaidi au...? imekuwa story zinabadilika mara ka mara.., bt Juzi Christ Breeezzzy alionekana akiwa na demu ktk tattoo parlor moja huko LA akiwa na demu kama vile haitoshi mwana dada RE RE alionekana air port ya LAX akitua kutoka kwao

No comments :