
Imezoeleka kwa wafanyakazi weeengi mda wa jioni wakitokea mafisini wanakuwa wanatumia barabara hii ya Bagamoyo road ktk foleni ya hapa na pale tumekuwa tukikutana na wenzetu wenye ulemavu wa ngozi(Albino).., je kwa mfano ikatokea umeshusha kioo kwa bahati mbaya ktk foleni albino anakupora simu na kukimbia utamkimbiiiza..... nitumie maoni mdau
No comments :
Post a Comment